IQNA

Mafundisho ya Quran kuhusu Nidhamu ya Kihisia

Mafundisho ya Quran kuhusu Nidhamu ya Kihisia

IQNA – Mafundisho ya Qur’ani Tukufu yanatupa miongozo na kutoa kielelezo cha nidhamu ya kihisia, kutusaidia kuzuia kuathiriwa na mihemko katika hali tofauti.
20:59 , 2024 Apr 16
Nukta nane kuhusu Shambulio la Kulipiza kisasi la Iran dhidi ya Israel

Nukta nane kuhusu Shambulio la Kulipiza kisasi la Iran dhidi ya Israel

IQNA - Mchambuzi wa Lebanon ameorodhesha nukta nane kuhusu mashambulizi ya kulipiza kisasi wa Iran dhidi ya utawala haramu wa Israel ambayo yalikuja baada ya mashambulizi ya Israel kwenye ubalozi mdogo wa Iran nchini Syria.
20:22 , 2024 Apr 16
Qari Hosseinipour wa Iran akisoma aya za Surah At-Taghabun (+Video)

Qari Hosseinipour wa Iran akisoma aya za Surah At-Taghabun (+Video)

IQNA - Qari mashuhuri wa Iran Seyed Mohammad Hosseinipour hivi karibuni alisoma aya za Surah At-Taghabun katika Qur'ani Tukufu.
20:03 , 2024 Apr 16
Vikao vya Qur'ani katika Haram ya Imam Ridha (AS) kuenzi operesheni ya Iran dhidi ya Israel

Vikao vya Qur'ani katika Haram ya Imam Ridha (AS) kuenzi operesheni ya Iran dhidi ya Israel

IQNA - Msururu wa vikao vha kusoma  Qur'ani Tukufu ambavyo vimepewa jina la "Ahadi ya Kweli" vinafanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran.
19:56 , 2024 Apr 16
Daraja la Golden Gate la San Francisco lafungwa kuuunga mkono Gaza (+Video)

Daraja la Golden Gate la San Francisco lafungwa kuuunga mkono Gaza (+Video)

IQNA - Barabara kuu ya 101 ya San Francisco kwenye daraja la Golden Gate ilifungwa na waandamanaji wanaounga mkono Palestina wakitaka kukomesha uungaji mkono wa Marekani kwa utawala katili wa Israel ambao unaendeleza vita vya mauaji ya kimbari Gaza.
16:51 , 2024 Apr 16
Mufti wa Oman apongeza hatua ya Iran kulipiza kisasi dhidi ya utawala wa Israel

Mufti wa Oman apongeza hatua ya Iran kulipiza kisasi dhidi ya utawala wa Israel

IQNA-Mufti Mkuu wa wa Oman amekaribisha na kupongeza mashambulizi ya Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
16:30 , 2024 Apr 16
Onyo la Iran kwa Marekani: Msithubutu kuchukua hatua za kijeshi

Onyo la Iran kwa Marekani: Msithubutu kuchukua hatua za kijeshi

IQNA-Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameionya Marekani kuhusu kuanzisha hatua za kijeshi dhidi ya Iran baada ya operesheni yake ya kisheria ya hivi karibuni ya kulipiza kisasi dhidi ya utawala ghasibu wa Israel, mshirika mkuu wa kieneo wa Washington.
16:41 , 2024 Apr 15
Iran yaonya itatoa jibu kali iwapo utawala wa Israel utafanya harakati yoyote ya kifidhuli

Iran yaonya itatoa jibu kali iwapo utawala wa Israel utafanya harakati yoyote ya kifidhuli

IQNA-Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utafanya harakati yoyote ya kifidhuli utakabiliwa na jibu madhubuti, zito na kali zaidi.
19:54 , 2024 Apr 14
Qur'ani Tukufu  inasemaje kuhusu nidhamu

Qur'ani Tukufu inasemaje kuhusu nidhamu

IQNA – Qur’ani Tukufu, pamoja na kuangazia mpangilio katika uumbaji wa ulimwengu wa asili, inawaalika wanadamu kwenye mfululizo wa maadili, tabia na maelekezo ambayo huleta utaratibu na nidhamu.
14:58 , 2024 Apr 14
Mkorea aliyesilimu kujenga Msikiti huko Incheon

Mkorea aliyesilimu kujenga Msikiti huko Incheon

IQNA - Daud Kim, msanii maarufu wa pop wa Korea Kusini na YouTuber ambaye alikubali Uislamu mnamo 2019, ameanza mradi wa kujenga msikiti huko Incheon, Korea Kusini.
14:46 , 2024 Apr 14
Algeria kuongeza zawadi za fedha taslimu  katika mashindano ya Qur'ani

Algeria kuongeza zawadi za fedha taslimu katika mashindano ya Qur'ani

IQNA - Rais wa Algeria ameamuru kuongezwa kwa zawadi za fedha zinazotolewa kwa washindi wa mashindano ya Qur'ani nchini humo.
14:45 , 2024 Apr 14
Iran yashambulia utawala wa Israel kulipiza kisasi ugaidi

Iran yashambulia utawala wa Israel kulipiza kisasi ugaidi

IQNA- Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limefanya mashambulizi makubwa ya kulipiza kisasi kwa kutumia makombora na ndege zisizo na rubani na makombora dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel likijibu mashambulizi ya kigaidi yaliyofanywa utawala wa Israel ya tarehe 1 Aprili dhidi ya majengo ya kidiplomasia ya Jamhuri ya Kiislamu katika mji mkuu wa Syria, Damascus.
11:39 , 2024 Apr 14
Mtafiti: Kusimulia hadithi ni njia muhimu ya kisanaa ya kueneza mafundisho ya Qur'ani

Mtafiti: Kusimulia hadithi ni njia muhimu ya kisanaa ya kueneza mafundisho ya Qur'ani

IQNA - Mtafiti wa Guinea-Bissau anasema mbinu ya kusimulia hadithi imetumika katika Qur'an na inaweza kueneza mafundisho ya Kiislamu kwa ufanisi.
16:46 , 2024 Apr 13
Muiraqi aliyevunjia heshima Qur'ani atimuliwa Norway na kurejeshwa Uswidi

Muiraqi aliyevunjia heshima Qur'ani atimuliwa Norway na kurejeshwa Uswidi

IQNA - Norway imekataa ombi la hifadhi la Salwan Momika, mkimbizi kutoka Iraq ambaye aliivunjia heshima Qur'ani Tukufu mara kadhaa nchini Uswidi katika miezi iliyopita. Ripoti za awali zilieleza kuwa Momika alifariki akiwa Norway lakini imebainika kuwa ripoti hizo hazikuwa sahihi.
16:24 , 2024 Apr 13
Qari maarufu wa Bangladesh akisoma Surah Al-Infitar kwenye kipindi cha TV cha Mahfel (+Video)

Qari maarufu wa Bangladesh akisoma Surah Al-Infitar kwenye kipindi cha TV cha Mahfel (+Video)

IQNA – Sheikh-ul-Qurra (mbora wa maqari) wa Bangladesh ni miongoni mwa maqari ambao qiraa yake imevutia wengi katika cha Televisheni cha Mahfel.
16:09 , 2024 Apr 13
1