Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema leo masuala ya Iraq na Afghanistan ni muhimu kwa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3474545 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/12
TEHRAN (IQNA)- Magaidi 65 wa kundi la ISIS au Daesh wamejisalimisha katika mkoa wa Nangarhar mashariki mwa Afghanistan katika eneo la mpaka wa nchi hiyo na Pakistan.
Habari ID: 3474500 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/01
Kikao cha Tehran
TEHRAN (IQNA)-Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi JIrani na Afghanistan mwishoni mwa kikao chao hapa Tehran wametoa taarifa ya pamoja na kusisitiza kuwa: njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Afghanistan ni kuasisi muundo mpana wa kisiasa kwa kuyashirikisha makundi yote ya nchi hiyo.
Habari ID: 3474482 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/28
TEHRAN (IQNA)- Hujuma dhidi ya msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia wakati wa Sala ya Ijumaa huko Kandahar, Afghanistan imelaaniwa vikali na Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar na Mufti wa Misri.
Habari ID: 3474430 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali kitendo cha magaidi wakufurishaji kuushambulia msikiti wa Bibi Fatima wakati wa Sala ya Ijumaa mjini Kandahar nchini Afghanistan.
Habari ID: 3474428 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16
TEHRAN (IQNA)- Hujuma ya kigaidi imelenga msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Kandahar, Afghanistan na kuepelekea waumini wasiopungua 32 kuuawa shahidi na wengine zaidi ya 53 kujeruhiwa.
Habari ID: 3474426 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/15
Kiongozi Muadhamu katika ujumbe kufuatia hujuma ya kigaidi msikitini Afghanistan
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito kwa mamlaka za Kabul kuwaadhibu waliohusika na shambulizi la bomu lililoua makumi ya watu msikitini katika mji wa Kunduz nchini Afghanistan juzi Ijumaa.
Habari ID: 3474404 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/10
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kufuatia kuuawa shahidi na kujeruhiwa idadi kubwa ya watu wasio na hatia nchini Afghanistan.
Habari ID: 3474400 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar Misri na Mufti Mkuu nchini humo wametoa taarifa na kulaani vikali hujuma ya kigaidi ya Ijumaa dhidi ya Msikiti wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia ambapo watu takribani 100 wameuawa.
Habari ID: 3474399 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09
TEHRAN (IQNA)- Waumini zaidi ya 60 wameopoteza maisha katika hujuma kigaidi dhidi ya msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia huku katika mji wa Kunduz kaskazini mashariki mwa Afghanistan.
Habari ID: 3474397 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/08
UNICEF
TEHRAN (IQNA)- Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umeripoti kuwa watoto wa Kiafghani zaidi ya milioni nne hawajajiandikisha kuanza shule mwaka huu nchini humo.
Habari ID: 3474314 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/19
TEHRAN (IQNA)- Mwanzilishi mwenza wa kundi Taliban na sasa naibu waziri mkuu wa Afghanistan ametoa taarifa ya sauti Jumatatu akisema alikuwa hai na mzima baada ya habari za kifo chake kuenea kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3474293 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/13
Matukio ya Afghanistan
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, asilimia 97 ya wananchi wa Afghanistan wamo katika hatari ya kuingia chini ya mstari wa umasikini.
Habari ID: 3474280 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/10
TEHRAN (IQNA)- Kundi la Taliban limetangaza kuunda serikali ya mpito ya Afghanistan huku kukiwa na maandamano dhidi ya kundi hilo mjini Kabul.
Habari ID: 3474271 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/08
Matukio ya Afghanistan
TEHRAN (IQNA)- Imearifiwa kuwa, kundi la Taliban la Afghanistan limempendekeza Mullah Hassan Akhund kuwa rais wa baadaye wa nchi hiyo.
Habari ID: 3474265 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/06
Matukio ya Afghansitan
TEHRAN (IQNA)- Ahmad Masoud, Kiongozi wa Wa afghanistan wanaolipinga kundi la Taliban ametoa mwito wa kuendelezwa mapambano dhidi ya kundi hilo.
Habari ID: 3474256 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/04
Mtukio ya hivi karibuni Afghanistan
TEHRAN (IQNA)- Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanyika nchini Marekani yanaonesha kuwa, asilimia 69 ya watu wa nchi hiyo wanaamini kuwa nchi yao imefeli na kushindwa kutimiza malengo yake huko Afganistan.
Habari ID: 3474253 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/03
TEHRAN (IQNA)- Karibu watoto 33,000 wameuawa na kulemazwa nchini Afghanistan katika kipindi cha miaka 20 iliyopita wakati wa uvamizi wa Marekani dhidi ya nchi hiyo, limesema shirika la Save the Children.
Habari ID: 3474248 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/01
TEHRAN (IQNA)- Matukio ya majuma mawili ya hivi karibuni nchini Afghanistan yameonyesha kuwa, makundi ya mapambano na muqawama katika eneo la Asia Magharibi yana nafasi muhimu katika kulinda mamlaka ya kujitawala pamoja na usalama wa mataifa yao.
Habari ID: 3474235 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/28
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaunga mkono taifa madhulumu la Waislamu la Afghanistan katika hali yoyote ile." Aidha ameongeza kuwa, uhusiano wa Iran na serikali zingine utategemea muamala wao na Iran.
Habari ID: 3474233 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/28