IQNA

Mikataba ya dola milioni 13.4 katika Maonyesho ya Halal ya D-8 Indonesia

IQNA – Waandaji wa Maonyesho ya Halal ya nchi za D-8 nchini Indonesia (D-8 HEI) 2026 wametangaza kuhitimishwa rasmi kwa hafla hiyo siku ya Jumapili, wakiripoti...

ICRO imeandaa Tuzo ya Kimataifa ya Arbaeen Toleo la 12

IQNA – Shirika la Iran la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu (ICRO) limeandaa tuzo ya 12 ya Kimataifa ya Arbaeen mwaka huu.

Wanafunzi kutoka Austria wajifunza kuhusu Uislamu katika Kituo cha Kiislamu cha Vienna

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Vienna, jijini Vienna nchini Austria, kimekaribisha makundi ya wanafunzi kutoka shule mbalimbali nchini humo siku kadhaa...

Albanese ataka hati ya haraka ya kukamatwa kwa Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni

IQNA – Mtaalamu Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Ardhi za Palestina Zinazokaliwa kwa Mabavu, Francesca Albanese, ametoa wito siku ya Jumapili kwa hati...
Habari Maalumu
Mahujaji wa Umrah watembelea Kituo cha Uchapishaji wa Qur’ani Tukufu cha Madina

Mahujaji wa Umrah watembelea Kituo cha Uchapishaji wa Qur’ani Tukufu cha Madina

IQNA – Kundi la waumini wanaotekeleza Hija ndogo ya Umrah lilitembelea siku ya Jumamosi Kituo cha Mfalme Fahd cha Uchapishaji wa Qur’ani Tukufu mjini Madina.
13 Jul 2026, 16:51
Kituo cha Qur’ani cha Al-Nour huko Gaza chaendelea na shughuli zake licha ya masaibu ya vita

Kituo cha Qur’ani cha Al-Nour huko Gaza chaendelea na shughuli zake licha ya masaibu ya vita

IQNA – Kituo cha Qur’ani cha Al-Nour kilichopo kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kinaendelea na shughuli zake za kutoa elimu ya Kiislamu licha ya changamoto...
12 Jul 2026, 20:46
Askofu wa Kyrgyzstan Asifu Misingi ya Kiungu na Heshima kwa Dini Iliyohimizwa na Kiongozi Shahidi

Askofu wa Kyrgyzstan Asifu Misingi ya Kiungu na Heshima kwa Dini Iliyohimizwa na Kiongozi Shahidi

IQNA – Askofu wa Kanisa la Othodoksi la Bishkek, nchini Kyrgyzstan, amemwelezea Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyed Ali Khamenei,...
12 Jul 2026, 20:29
Iran yalipiza kisasi, yashambulia kambi za kijeshi za Marekani katike eneo

Iran yalipiza kisasi, yashambulia kambi za kijeshi za Marekani katike eneo

IQNA-Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo asubuhi vimetekeleza operesheni ya pamoja ya makombora na ndege zisizo na rubani dhidi ya kambi...
12 Jul 2026, 09:42
Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mohammed VI nchini Morocco yapangwa kufanyika Agosti

Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mohammed VI nchini Morocco yapangwa kufanyika Agosti

IQNA – Toleo la 20 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mohammed VI linatarajiwa kufanyika nchini Morocco kuanzia tarehe 10 hadi 12 Agosti, 2026.
12 Jul 2026, 09:54
Ayatullah Mojtaba Khamenei: Kulipiza kisasi cha damu ya Kiongozi Shahidi ni takwa la taifa

Ayatullah Mojtaba Khamenei: Kulipiza kisasi cha damu ya Kiongozi Shahidi ni takwa la taifa

IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Mojtaba Khamenei, ameeleza shukrani zake za dhati kwa mahudhurio “ya kustaajabisha, yenye kuvunja...
11 Jul 2026, 16:40
Maelfu washiriki katika msafara wa maombolezo huko Kargil, India, kumuaga Imam Khamenei

Maelfu washiriki katika msafara wa maombolezo huko Kargil, India, kumuaga Imam Khamenei

IQNA – Msafara mkubwa wa kinembo wa maombolezo wenye anwani ya “Kumuaga Imam Khamenei” umefanyika huko Kargil, India, siku ya Alhamisi.
11 Jul 2026, 16:27
Kiongozi Shahidi ni nembo ya heshima, utukufu, na mapambano

Kiongozi Shahidi ni nembo ya heshima, utukufu, na mapambano

IQNA – Kamati za Muqawama wa Palestina (Palestinian Resistance Committees) zimesisitiza kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah...
11 Jul 2026, 16:22
Elimu ya Qur’ani nyumbani inazidi kupata umaarufu nchini Algeria

Elimu ya Qur’ani nyumbani inazidi kupata umaarufu nchini Algeria

IQNA – Familia za Algeria zimeanza kuajiri walimu wa Qur’ani (wanaume na wanawake) ili kuwafundisha watoto wao nyumbani.
11 Jul 2026, 16:34
Imamu Shahidi azikwa Mashhad

Imamu Shahidi azikwa Mashhad

IQNA – Baada ya siku kadhaa za misafara ya mazishi na hafla za kuaga nchini Iran na Iraq, Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali...
10 Jul 2026, 16:33
Mkakati wa Kistaarabu wa Umoja wa Imamu Shahidi kwa Ummah wa Kiislamu: Mtazamo wa Msomi wa Bahrain

Mkakati wa Kistaarabu wa Umoja wa Imamu Shahidi kwa Ummah wa Kiislamu: Mtazamo wa Msomi wa Bahrain

IQNA – Msomi mwandamizi wa Bahrain amesema kuwa umoja katika mtazamo wa Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, si nembo...
10 Jul 2026, 17:02
Mazishi ya Kiongozi Shahidi Najaf na Karbala: Sura ya Dhahabu katika Mahusiano ya Iran na Iraq

Mazishi ya Kiongozi Shahidi Najaf na Karbala: Sura ya Dhahabu katika Mahusiano ya Iran na Iraq

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa shukrani za dhati kwa wananchi na viongozi wa Iraq kwa ukarimu wao katika kuandaa msafara wa mazishi ya Kiongozi...
10 Jul 2026, 16:48
Mazishi ya Kiongozi Shahidi yameibadili taswira ya Iran duniani

Mazishi ya Kiongozi Shahidi yameibadili taswira ya Iran duniani

IQNA – Mazishi makubwa na yenye adhama ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, yaliyovuta mamilioni ya waombolezaji, hayakuwa tu hafla ya kitaifa,...
10 Jul 2026, 17:10
Mamilioni watoa heshima kwa Shahidi Khamenei nchini Iraq

Mamilioni watoa heshima kwa Shahidi Khamenei nchini Iraq

IQNA-Katika ujumbe uliotolewa mapema leo Alkhamisi, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Brigedia Jenerali Esmail...
09 Jul 2026, 13:48
Mwili wa Kiongozi Shahidi waswaliwa katika Haram ya Imam Ali (AS) Najaf

Mwili wa Kiongozi Shahidi waswaliwa katika Haram ya Imam Ali (AS) Najaf

IQNA – Swala za Maiti kwa ajili ya miili ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, pamoja na wanafamilia yake imeswaliwa...
08 Jul 2026, 09:44
“Kuishi na Qur’ani” ndilo Takwa Kuu la Kiongozi Shahidi kwa Umma wa Kiislamu

“Kuishi na Qur’ani” ndilo Takwa Kuu la Kiongozi Shahidi kwa Umma wa Kiislamu

IQNA – Mkuu wa Shirika la Maendeleo ya Kiislamu ametaja “kuishi na Qur’ani Tukufu” kama takwa kuu la Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah...
08 Jul 2026, 20:44
Picha‎ - Filamu‎