IQNA

Kituo Kipya cha Kuhifadhi Qur’ani Chazinduliwa Somalia

IQNA – Kituo kipya cha kuhifadhi Qur’an kimefunguliwa katika eneo la Kahda, jimbo la Banadir, Somalia.

Al-Azhar na Radio ya Qur’ani Misri Kuandaa Kurekodi Qiraa Mpya

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri pamoja na Radio ya Qur’ani ya taifa hilo, hivi karibuni wataanza mradi wa kurekodi qiraa mpya za Qur’an...

Siku ya Krismasi, Msikiti wa Bradford Wakuwa Kitovu cha Jamii

IQNA – Wakati wengi walikusanyika na familia zao, milango ya msikiti mmoja mjini Bradford, kaskazini mwa Uingereza, ilifunguliwa kuwapokea wale ambao vinginevyo...

Maadhimisho Karbala Yasherehekea Kuzaliwa kwa Imam Jawad (AS)

IQNA – Haramu tukufu ya Hadhrat Abbas (AS) mjini Karbala, Iraq, imeandaa sherehe ya kila mwaka kwa heshima ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam Jawad (AS).
Habari Maalumu
Haramu ya Najaf yapambwa kwa maua kabla ya Maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Imam Ali (AS)

Haramu ya Najaf yapambwa kwa maua kabla ya Maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Imam Ali (AS)

IQNA – Haramu tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, imepambwa kwa maua mengi kwa heshima ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam wa kwanza wa Waislamu...
31 Dec 2025, 14:21
Nafasi ya Istighfar Katika Kuvuta Rehema za Mwenyezi Mungu
Istighfar Katika Qur’ani Tukufu/8

Nafasi ya Istighfar Katika Kuvuta Rehema za Mwenyezi Mungu

IQNA – Athari za Istighfar (kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu) hazihusiani tu na kusamehewa dhambi, bali pia huondoa vizuizi vinavyokwamisha baraka na...
30 Dec 2025, 14:44
Nchi 48 zashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Algeria

Nchi 48 zashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Algeria

IQNA – Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Algeria yameanza kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka zaidi ya nchi 48.
30 Dec 2025, 14:38
Wahifadhi Qur’ani wa kike waenziwa katika kambi ya wakimbizi Gaza

Wahifadhi Qur’ani wa kike waenziwa katika kambi ya wakimbizi Gaza

IQNA – Hafla maalumu imefanyika Gaza kuadhimisha mahafali ya wanafunzi kadhaa wa kike waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
30 Dec 2025, 14:31
Wajumbe wa Baraza la Sera la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran watangazwa

Wajumbe wa Baraza la Sera la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran watangazwa

IQNA – Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Iran ametangaza jina la mwenyekiti wa Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani mjini Tehran, pamoja...
30 Dec 2025, 14:13
Kikao cha Khatmul Qur’an chafanyika Oman jijini Salalah

Kikao cha Khatmul Qur’an chafanyika Oman jijini Salalah

IQNA – Hafla ya Khatm Qur’an imefanyika katika mji wa Salalah, Oman, ikihusisha washiriki 110 waliokuwa wamehifadhi Qur’ani Tukufu.
30 Dec 2025, 14:01
Bendera ya Haram ya Imam Ali (AS) yabadilishwa kabla ya tukio tukufu

Bendera ya Haram ya Imam Ali (AS) yabadilishwa kabla ya tukio tukufu

IQNA – Kadri maadhimisho ya kuzaliwa kwa Imam Ali (AS) yanavyokaribia, bendera ya haram ya Imam huyo wa kwanza imebadilishwa katika hafla maalumu Jumapili.
29 Dec 2025, 13:23
Meya wa Kwanza Mwislamu kuchukua usukani wa New York wiki hii

Meya wa Kwanza Mwislamu kuchukua usukani wa New York wiki hii

IQNA – Zohran Mamdani ataapishwa kuwa meya wa 110 wa Jiji la New York wiki hii, ambapo ataweka historia kwa kuwa Mwislamu wa kwanza kuliongoza jiji kubwa...
29 Dec 2025, 13:17
Zabuni za huduma za Iftar zatangazwa kwa Ramadhani katika Misikiti ya Makkah na Madinah

Zabuni za huduma za Iftar zatangazwa kwa Ramadhani katika Misikiti ya Makkah na Madinah

IQNA – Kampuni zinazobobea katika huduma za chakula kwa wingi zinakaribishwa kuomba nafasi ya heshima ya kutoa futari katika Msikiti Mtukufu wa Makkah...
29 Dec 2025, 13:09
Migahawa ya Seoul yabadilika kukidhi wimbi la watalii Waislamu kwa menyu 'Halal'

Migahawa ya Seoul yabadilika kukidhi wimbi la watalii Waislamu kwa menyu 'Halal'

IQNA – Mapinduzi ya kimyakimya ya upishi yanaendelea mjini Seoul, Korea Kusini yakichochewa na mifuko na ladha za kundi linalokua kwa kasi: watalii Waislamu.
29 Dec 2025, 12:59
Ayatullah Khamenei: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mbeba bendera ya mfumo wa kiadilifu wa Kiislamu ulimwenguni

Ayatullah Khamenei: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mbeba bendera ya mfumo wa kiadilifu wa Kiislamu ulimwenguni

IQNA- Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa, Jamhuri ya Iran ya Kiislamu ni mbeba bendera ya kukabiliana mfumo...
28 Dec 2025, 15:21
Kipindi cha Qur'ani cha “Dawlat al-Tilawa”  Misri katika hatua ya Mwisho

Kipindi cha Qur'ani cha “Dawlat al-Tilawa” Misri katika hatua ya Mwisho

IQNA – Kipindi cha 13 cha shindano la vipaji vya Qur’ani Tukufu nchini Misri maarufu Dawlat al-Tilawa kilirushwa hewani wiki hii, kikiashiria kuanza kwa...
28 Dec 2025, 15:56
Mahitaji ya Tafsiri za Qur’ani kwa Kiswidi yaongezeka baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani

Mahitaji ya Tafsiri za Qur’ani kwa Kiswidi yaongezeka baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani

IQNA – Baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani Tukufu mbele ya Msikiti Mkuu wa Stockholm, mahitaji ya kununua tarjuma au tafsiri za Qur’ani...
28 Dec 2025, 15:50
Wanafunzi Wasomea Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja Katika Msikiti Mkuu wa Algiers

Wanafunzi Wasomea Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja Katika Msikiti Mkuu wa Algiers

IQNA – Kundi la wanafunzi Waalgeria wanaoishi nje ya nchi walisoma kwa pamoja aya za Surah Al-Kahf katika Msikiti Mkuu wa Algiers.
28 Dec 2025, 15:39
Bendera ya “Ali Aliyezaliwa Ndani ya Kaaba” kupandishwa juu ya Kuba ya Haram ya Imam Ali (AS)

Bendera ya “Ali Aliyezaliwa Ndani ya Kaaba” kupandishwa juu ya Kuba ya Haram ya Imam Ali (AS)

IQNA – Uwanja wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, leo tarehe 28 Disemba 2025 umeshuhudia hafla ya kupandisha bendera maalum.
28 Dec 2025, 15:44
2025: Mwaka ulioshuhudia kushadidi chuku dhidi ya Waislamu wa India

2025: Mwaka ulioshuhudia kushadidi chuku dhidi ya Waislamu wa India

IQNA – Kuanzia unyanyasaji wa mtandaoni hadi mashambulizi ya umati na sera za kibaguzi, mwaka 2025 uliweka bayana hali ya kutisha kwa Waislamu walio wachache...
28 Dec 2025, 15:34
Picha‎ - Filamu‎