IQNA

Imam Hussein (AS) katika Qur’an – Sehemu ya 2

Yale Qur’ani inasema kuhusu dhulma aliyoipata Imam Hussein (AS)

IQNA – Dhulma aliyoipata Imam Hussein (AS) ni ya wazi na ya kina kiasi kwamba inaweza kuchukuliwa kuwa ni taswira halisi ya baadhi ya aya tukufu za Qur’ani.

Wahifadhi wawili wa Qur’ani kuwakilisha Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Saudia

IQNA – Iran imetangaza majina ya wawakilishi wake katika mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yatakayoandaliwa nchini Saudi Arabia.

Sheikh Issa Qassim: Vitisho dhidi ya Ayatullah Khamenei ni sawa na kuuvunjia heshima Umma wa Kiislamu

IQNA: Kiongozi wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia wa nchini Bahrain amelaani vikali kitendo cha Rais Donald Trump wa Marekani cha kumvunjia heshima na kumtishia...

Kiongozi wa Hizbullah: Utawala wa Israel umekiuka mapoatano ya usitihaji vita zaidi ya mara 3,700.

IQNA-Sheikh Naim Qassem, kiongozi wa harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah ameeleza kuwa Israel si tu kuwa inaikalia kwa mabavu Palestina bali ni tishio...
Habari Maalumu
Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalikuwa ni kusimama dhidi ya unafiki na dhulma

Mapinduzi ya Imam Hussein (AS) yalikuwa ni kusimama dhidi ya unafiki na dhulma

IQNA – Mwanazuoni mashuhuri kutoka Iran amesisitiza umuhimu mkubwa wa mapinduzi ya Imam Hussein (AS) katika kufufua uhai wa Uislamu wa kweli na kufichua...
02 Jul 2025, 16:12
Ayatullah Makarem Shirazi:Mtazamo wa Magharibi kuhusu haki za binadamu hauna msingi wala maana

Ayatullah Makarem Shirazi:Mtazamo wa Magharibi kuhusu haki za binadamu hauna msingi wala maana

IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu nchini Iran amekosoa mtazamo wa Magharibi kuhusu haki za binadamu na kusema “hauna msingi na hauna maana,”...
02 Jul 2025, 16:42
Wanawake Waislamu Marekani wawasilisha mashtaka baada ya kuvuliwa Hijabu  wakati wa maandamano

Wanawake Waislamu Marekani wawasilisha mashtaka baada ya kuvuliwa Hijabu wakati wa maandamano

IQNA – Mwanamke wawili Waislamu nchini Marekani wamewasilisha kesi dhidi ya Kaunti ya Orange na idara yake ya sheriff, wakidai kuwa maafisa walilazimisha...
02 Jul 2025, 16:24
Rais wa Uturuki akosoa picha ya kuvunjia heshima dini

Rais wa Uturuki akosoa picha ya kuvunjia heshima dini

IQNA – Kibonzo kilichoonekana kuwataja Manabii wa Mwenyezi Mungu kwa njia ya dhihaka kiliibua lawama nyingi nchini Uturuki, ikiwemo kutoka kwa Rais wa...
02 Jul 2025, 16:32
Indonesia kuendeleza msaada kwa shule za Kiislamu licha ya upungufu wa bajeti

Indonesia kuendeleza msaada kwa shule za Kiislamu licha ya upungufu wa bajeti

IQNA – Serikali ya Indonesia imeahidi kuwa changamoto za bajeti hazitasababisha kusitishwa kwa msaada kwa shule za Kiislamu nchini humo.
02 Jul 2025, 15:51
Hadhi ya Imam Hussein (AS) katika Qur’ani
Imam Hussein (AS) katika Qur’ani Tukufu

Hadhi ya Imam Hussein (AS) katika Qur’ani

IQNA – Baadhi ya aya za Qur’an Tukufu zinamhusu, Imam Hussein (AS), ambaye ni shakhsia adhimu na mtukufu katika Uislamu.
01 Jul 2025, 22:36
Viongozi wa Ulaya waaswa kukomesha kuchochea chuki dhidi ya Uislamu

Viongozi wa Ulaya waaswa kukomesha kuchochea chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni dhidi ya misikiti nchini Uingereza na Ufaransa, viongozi wa Ulaya wametakiwa kuacha kuchochea chuki dhidi...
01 Jul 2025, 23:00
Rais wa Iran: Mienendo ya kindumakuwili ya IAEA inasababiisha changamoto kubwa duniani

Rais wa Iran: Mienendo ya kindumakuwili ya IAEA inasababiisha changamoto kubwa duniani

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Mienendo ya hivi karibuni ya kindumakuwili ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) inatia...
01 Jul 2025, 22:46
Wanaharakati wa Qur'ani Iran wakemea matamshi ya Rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Muadhamu

Wanaharakati wa Qur'ani Iran wakemea matamshi ya Rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Muadhamu

IQNA – Jumuiya ya Wanaharakati wa Qur’an ya Iran imelaani vikali matusi na vitisho vya rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu,...
01 Jul 2025, 12:53
Mtafiti: Ujumbe wa Imamu Hussein (AS) waugusa ubinadamu wote

Mtafiti: Ujumbe wa Imamu Hussein (AS) waugusa ubinadamu wote

IQNA – Mwanazuoni na mtafiti wa Kiislamu amesisitiza umuhimu wa kimataifa na wa milele wa harakati ya Imam Hussein (AS), akiuelezea kama ujumbe wa kibinadamu...
30 Jun 2025, 11:18
Mnara wa kuenzi kumbukumbu ya Mtoto Mpalestina-Mmarekani aliyeuawa katika jinai ya chuki

Mnara wa kuenzi kumbukumbu ya Mtoto Mpalestina-Mmarekani aliyeuawa katika jinai ya chuki

IQNA – Wakazi wa Plainfield, Illinois, nchini Marekani walikusanyika Jumamosi kufungua mnara wa kumbukumbu kuenzi maisha ya Wadea Al-Fayoume, mtoto Mpalestina-Mmarekani...
30 Jun 2025, 11:33
Mashindano ya Qur’ani nchini Slovenia yavutia washiriki zaidi ya 1,000

Mashindano ya Qur’ani nchini Slovenia yavutia washiriki zaidi ya 1,000

IQNA – Toleo la tisa la mashindano ya "Kizazi cha Qur’ani" limehitimishwa mjini Ljubljana, likiwa limewakutanisha zaidi ya washiriki elfu moja kutoka maeneo...
30 Jun 2025, 10:51
Nchi za Afrika zazidi kuvutia watalii Waislamu

Nchi za Afrika zazidi kuvutia watalii Waislamu

IQNA – Nchi za Afrika zinaendelea kupata umaarufu mkubwa miongoni mwa wasafiri Waislamu, huku vivutio vya nchi za Magharibi vikizidi kupoteza mvuto wao...
30 Jun 2025, 10:41
Haram Takatifu ya Najaf yajaa Wafanyaziara katika Mwezi Mtukufu wa Muharram

Haram Takatifu ya Najaf yajaa Wafanyaziara katika Mwezi Mtukufu wa Muharram

IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (Alayhis Salaam) huko Najaf, Iraq, kwa sasa inashuhudia wingi mkubwa wa wafanyaziara na waombolezaji kuadhimisha kuingia...
29 Jun 2025, 19:07
Wizara ya Wakfu Syria yakanusha kufunga Haram ya Bibi Zaynab (SA) au kuzuia maombolezo ya Muharram

Wizara ya Wakfu Syria yakanusha kufunga Haram ya Bibi Zaynab (SA) au kuzuia maombolezo ya Muharram

IQNA – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini nchini Syria imekanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kuwa Haram takatifu ya...
29 Jun 2025, 18:52
Waislamu wa Singapore kutuma tani 16 za nyama ya Udhiya Gaza

Waislamu wa Singapore kutuma tani 16 za nyama ya Udhiya Gaza

IQNA – Waislamu nchini Singapore wanatarajiwa kuchangia tani 16 za nyama ya Udhiya iliyo kwenye makopo kwa ajili ya wakaazi wa Gaza, kama sehemu ya juhudi...
29 Jun 2025, 18:38
Picha‎ - Filamu‎