IQNA

Nigeria: Waislamu wasifu Gavana aliyeruhusu wanawake Waislamu wanaofanya kazi za Ulinzi kuvaa Hijabu

IQNA – Shirika la haki za binadamu la Kiislamu nchini Nigeria limekaribisha uamuzi wa hivi karibuni wa gavana wa Jimbo la Jigawa kuruhusu wanawake Waislamu...

Hati ya Kitabu cha Ibn Sina yaonyesha uhusiano wa madaktari wa Kiarishi na Ulimwengu wa Kiislamu

IQNA – Ugunduzi wa hati ya kale ya Kiarishi umeonyesha uhusiano usiotarajiwa kati ya utamaduni wa Gaelic huko Ireland na ulimwengu wa Kiislamu. 

Ayatullah Sistani atuma rambirambi kufuatia kifo cha Mwanazuoni maarufu wa Kashmir

IQNA – Ofisi ya Ayatullah Ali al-Sistani, kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, imetoa ujumbe rasmi wa rambirambi kufuatia kifo cha...

Haram ya Imam Ridha  (AS) kutoa huduma kwa lugha za kimataifa wakati wa ‘Wiki ya Karamat’

IQNA – Astan Quds Razavi, yaani  Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran, immepanga mfululizo...
Habari Maalumu
Sheikh Qassem: Haiwezekani kuipokonya Hizbullah silaha

Sheikh Qassem: Haiwezekani kuipokonya Hizbullah silaha

IQNA – Katibu Mkuu wa Hizbullay ya Lebanon amepuuzilia mbali wazo la kuipokonya  harakati hiyo, silaha zake na kusema wale wanaotoa wito wa kufanya hivyo...
19 Apr 2025, 22:40
Chama cha misimamo mikali Italia kuchunguzwa kuhusu  picha za Chuki dhidi ya Uislamu

Chama cha misimamo mikali Italia kuchunguzwa kuhusu picha za Chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Chama kimoja cha misimamo mikali ya mrengo wa kulia nchini Italia, kinachoongozwa na Naibu Waziri Mkuu Matteo Salvini, kinahunguzwa rasmi baada...
19 Apr 2025, 22:19
Kiongozi Muadhamu: Uhusiano baina ya Iran na Saudi Arabia utafaidisha pande mbili

Kiongozi Muadhamu: Uhusiano baina ya Iran na Saudi Arabia utafaidisha pande mbili

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Uhusiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia utakuwa na faida kwa pande...
18 Apr 2025, 09:58
Jihad Islami: Hatuwezi chini silaha maadamu ardhi za Palestina zinakaliwa kwa mabavu

Jihad Islami: Hatuwezi chini silaha maadamu ardhi za Palestina zinakaliwa kwa mabavu

IQNA – Makundi yote ya Palestina yameungana katika upinzani wao mkali dhidi ya pendekezo la kuzitaka harakati za Kiislamu za kupigania ukombozi (Muqawama)...
18 Apr 2025, 18:49
Rais wa Iran: Umoja wa Kiislamu ni muhimu kwa amani na maendeleo ya kieneo

Rais wa Iran: Umoja wa Kiislamu ni muhimu kwa amani na maendeleo ya kieneo

IQNA – Rais wa Iran Massoud Pezeshkian amesema umoja wa Waislamu kuwa msingi wa amani na maendeleo katika eneo hilo. 
18 Apr 2025, 11:13
Maeneo ya kupumzika, njia zenye kivuli kujengwa kwa ajili ya Mahujaji kabla ya Hija 

Maeneo ya kupumzika, njia zenye kivuli kujengwa kwa ajili ya Mahujaji kabla ya Hija 

IQNA – Mipango inaendelea kuanzisha maeneo ya kupumzika kwa Mahujaji katika sehemu mbalimbali za Mina, Arafat na Muzdalifah karibu na Makka wakati wa Hija...
18 Apr 2025, 10:37
Afisa wa EU asema hatua zinachukuliwa kukabiliana na Chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya

Afisa wa EU asema hatua zinachukuliwa kukabiliana na Chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya

IQNA-Umoja wa Ulaya umetangaza azma ya kukabiliana na uhalifu wa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika nchi za Ulaya.
18 Apr 2025, 10:18
Hizbullah yaitaka OIC na Jumuiya ya Kiarabu Kutimiza Wajibu kwa Al-Aqsa

Hizbullah yaitaka OIC na Jumuiya ya Kiarabu Kutimiza Wajibu kwa Al-Aqsa

IQNA – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Lebanon, Hizbullah, imetoa wito kwa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), Jumuiya ya Nchi za...
17 Apr 2025, 11:55
Wairani 85,000 kueleka Hija, miongoni mwao 1,100 wana umri zaidi ya miaka 80

Wairani 85,000 kueleka Hija, miongoni mwao 1,100 wana umri zaidi ya miaka 80

IQNA – Jumla ya raia 85,000 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran watashiriki katika ibada ya Hija mwaka huu ambapo miongoni mwao  1,100 wana umri wa zaidi ya...
17 Apr 2025, 11:04
Msomi wa Misri: Kutajwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa Katika Qur'ani Kunaakisi Utambulisho Wake wa Kiislamu

Msomi wa Misri: Kutajwa kwa Msikiti wa Al-Aqsa Katika Qur'ani Kunaakisi Utambulisho Wake wa Kiislamu

IQNA – Rais wa zamani wa Chuo Kikuu cha Al-Azhar amesema kuwa Qur'ani Tukufu inaangazia utambulisho wa Kiislamu wa Msikiti wa Al-Aqsa.
16 Apr 2025, 16:29
Mpango wa Kutafakari kuhusu Qur'ani Wafanyika Katika Msikiti wa Al-Nur, Jakarta

Mpango wa Kutafakari kuhusu Qur'ani Wafanyika Katika Msikiti wa Al-Nur, Jakarta

IQNA – Hafla ya ‘Halal kwa Halal’ na mpango wa kutafakari kuhusu aya za Qur'ani zilifanyika kwa ushiriki mkubwa wa viongozi wa kidini, kitamaduni na kitaaluma...
16 Apr 2025, 15:52
Mufti Mkuu wa Oman akemea Waarabu wanaotaka wapigania ukombozi wa Palestina wapokonywe silaha

Mufti Mkuu wa Oman akemea Waarabu wanaotaka wapigania ukombozi wa Palestina wapokonywe silaha

IQNA – Kupitia taarifa kali kwenye mitandao ya kijamii, Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmad bin Hamad Al-Khalili, amewakosoa vikali viongozi wa Kiarabu wanaoripotiwa...
16 Apr 2025, 15:11
Chuo Kikuu cha UAE chafungua vituo vya kuhifadhi Qur'ani Uganda, Kenya, na Comoro

Chuo Kikuu cha UAE chafungua vituo vya kuhifadhi Qur'ani Uganda, Kenya, na Comoro

Chuo Kikuu cha UAE chafungua vituo vya kuhifadhi Qur'ani Uganda, Kenya, na Comoro
16 Apr 2025, 14:40
Mmarekani atozwa faini baada ya kuwadhalilisha wanawake Waislamu walipokuwa wakiswali

Mmarekani atozwa faini baada ya kuwadhalilisha wanawake Waislamu walipokuwa wakiswali

IQNA – Wanafunzi watatu Waislamu wa chuo kikuu huko Georgia nchini Marekani wametozwa faini ya kifedha baada ya kudhalilishwa walipokuwa wakiswali katika...
16 Apr 2025, 14:26
Kiongozi Muadhamu: Mazungumzo ya Oman ni ‘Mazuri’ lakini bado hatuuamini upande wa pili

Kiongozi Muadhamu: Mazungumzo ya Oman ni ‘Mazuri’ lakini bado hatuuamini upande wa pili

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amesema mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani katika...
15 Apr 2025, 22:49
Wasilisha Makala Katika Kongamano la 9 la Kimataifa la Arubaini

Wasilisha Makala Katika Kongamano la 9 la Kimataifa la Arubaini

IQNA – Kituo cha Karbala cha Utafiti, kilichoko chini ya uangalizi wa Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein (AS), kimetangaza wito wa kuwasilisha...
15 Apr 2025, 22:29
Picha‎ - Filamu‎