IQNA

Umoja wa Mataifa washtushwa na kugunduliwa kwa kaburi la umati Gaza

Umoja wa Mataifa washtushwa na kugunduliwa kwa kaburi la umati Gaza

IQNA - Msemaji wa Umoja wa Mataifa ameitaja ripoti kuhusu kugunduliwa kwa makaburi ya halaiki huko Gaza kuwa ni ya kushtusha, huku ushahidi wa awali ukionyesha utawala haramu wa Israel umehusika katika jinai hiyo.
11:30 , 2024 Apr 23
Zaidi ya Wairani 83,000 kushiriki ibada ya Hija mwaka huu

Zaidi ya Wairani 83,000 kushiriki ibada ya Hija mwaka huu

IQNA - Zaidi ya Wairani 83,000 wataelekea Saudi Arabia kushiriki katika ibada ya Hija mwaka huu, afisa mmoja alisema.
11:20 , 2024 Apr 23
Afisa wa Al-Azhar aangazia changamoto katika kutafsiri maandishi ya kidini

Afisa wa Al-Azhar aangazia changamoto katika kutafsiri maandishi ya kidini

IQNA - Naibu mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesema kuna changamoto nyingi katika kazi ya tarjuma au tafsiri ya maandiko ya kidini, ikiwa ni pamoja na Qur'ani Tukufu.
11:07 , 2024 Apr 23
Nidhamu ya Kihisia na Mafundisho ya Qur'ani

Nidhamu ya Kihisia na Mafundisho ya Qur'ani

IQNA - Kwa mujibu wa mafundisho ya Qur'ani Tukufu, tabia ya mtu ya kutetea kwa ukali maoni na matamanio yake inaondolewa na uwezo wake wa kudhibiti hisia zake unaboreka.
09:59 , 2024 Apr 23
Walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa Al-Aqsa Kabla ya Pasaka

Walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa Al-Aqsa Kabla ya Pasaka

IQNA - Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamevamia Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) siku ya Jumatatu chini ya ulinzi mkali wa wanajeshi wa utawala ghasibu wa Israel ambao unakalia eneo hilo kwa mabavu.
09:37 , 2024 Apr 23
Hafla ya kuwaaga Wairani wanaoenda Umrah baada ya miaka tisa +PICHA

Hafla ya kuwaaga Wairani wanaoenda Umrah baada ya miaka tisa +PICHA

Siku ya Jumapili, idadi kubwa ya waumini waliondoka Tehran kuelekea mji mtakatifu wa Madina ikiwa ni hatua ya kurejeshwa ushiriki wa Wairani katika ibada ya Umrah baada ya kusitishwa kwa miaka tisa kutokana na sababu mbali mbali. Kulingana na mipango, zaidi ya Wairani 5,000 watashiriki katika ibada ya Umrah katika mwezi wa Hijri wa Shawwal.
21:05 , 2024 Apr 22
Wairani wanaoenda Umrah watakiwa kuwaombea Wapalestina wa Gaza

Wairani wanaoenda Umrah watakiwa kuwaombea Wapalestina wa Gaza

IQNA - Afisa wa Hijja wa Iran amelitaka kundi la kwanza la Wairani walioelekea Saudia kwa ajili ya Hija ndogo ya Umra kuwakumbuka Wapalestina hasa wa Gaza katika dua wakiwa aktika ardhi takatifu.
21:01 , 2024 Apr 22
Miili 190 yapatikana katika kaburi la umati hospitalini Gaza baada askari wa Israel kutoroka

Miili 190 yapatikana katika kaburi la umati hospitalini Gaza baada askari wa Israel kutoroka

IQNA - Takriban miili 190 imetolewa kwenye kaburi la umati katika Hospitali ya Nasser katika mji wa Khan Younis kusini mwa Ukanda wa Gaza.
20:48 , 2024 Apr 22
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya wenye vipaji maalumu

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya wenye vipaji maalumu

IQNA - Misri inaandaa mashindano ya kimataifa ya Qur'ani kwa wenye vipaji maalumu lengo likiwa ni  kukuza utamaduni wa Kiislamu.
10:44 , 2024 Apr 22
Mchambuzi wa Syria: Operesheni ya Iran dhidi ya Israel imeleta mabadiliko ya kihistoria

Mchambuzi wa Syria: Operesheni ya Iran dhidi ya Israel imeleta mabadiliko ya kihistoria

IQNA - Mwanaharakati wa kisiasa wa Syria amesema shambulio la makombora ya Iran na ndege zisizo na rubani dhidi ya Israeli mapema mwezi huu limeleta mabadiliko ya kihistoria.
10:28 , 2024 Apr 22
Mwigizaji Donnie Roelvink atangaza Kusilimu

Mwigizaji Donnie Roelvink atangaza Kusilimu

IQNA - Mwigizaji wa Uholanzi Donnie Roelvink amesilimu siku ya Ijumaa, Aprili 19, kwa kutamka Shahadah.
09:58 , 2024 Apr 22
Amiri Jeshi Mkuu Iran ashukuru majeshi kwa utendaji mzuri katika operesheni ya Ahadi ya Kweli

Amiri Jeshi Mkuu Iran ashukuru majeshi kwa utendaji mzuri katika operesheni ya Ahadi ya Kweli

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Vikosi vya kijeshi vimeonyesa taswira nzuri ya uwezo na mamlaka yao, na pia taswira yenye kupongezwa ya taifa la Iran, sambamba na kuthibitisha kuibuka kwa uwezo wa irada wa taifa la Iran katika uga wa kimataifa," akiashiria mafanikio ya majeshi ya Iran katika operesheni dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel hivi karibuni.
16:34 , 2024 Apr 21
Qari wa Algeria asoma aya za Qur'ani kwa heshima kwa watu wa Gaza (+Video)

Qari wa Algeria asoma aya za Qur'ani kwa heshima kwa watu wa Gaza (+Video)

IQNA - Picha za qari wa Algeria akisoma Qur'ani kwa ajili ya kuwaenzi watu wa Gaza zimesambaa katika mitandao ya kijamii.
16:26 , 2024 Apr 21
Qari Panahi wa Iran akisoma  aya za Sura A-Haj (+Video)

Qari Panahi wa Iran akisoma aya za Sura A-Haj (+Video)

IQNA - Mohammad Javad Panahi, qari maarufu wa Irani, hivi karibuni alisoma aya za Surah Al-Haj ya Qur'ani Tukufu.
16:17 , 2024 Apr 21
Msanii anaonya kuhusu kufifia kaligrafia ya Qur'ani

Msanii anaonya kuhusu kufifia kaligrafia ya Qur'ani

IQNA - Mwandishi kaligrafia nchini Iran ambaye ni mtaalamu wa uandishi wa maandishi ya kidini, hususan aya za Qur'ani Tukufu, amebainisha wasiwasi kuhusu kupungua kwa idadi ya watu wanaojifunza kaligrafia ya Qur'ani.
16:01 , 2024 Apr 21
1