IQNA

Shahriari: Heshima ya Binadamu, Haki, na Usalama ni Nguzo Tatu za Umoja wa Kiislamu

Shahriari: Heshima ya Binadamu, Haki, na Usalama ni Nguzo Tatu za Umoja wa Kiislamu

IQNA – Akizungumzia heshima ya binadamu, haki, na usalama kama nguzo kuu tatu za umoja wa Kiislamu, mwanazuoni mwandamizi wa Kiirani amesema kuwa Palestina ni alama au nembo ya mshikamano wa kimataifa.
11:04 , 2025 Sep 06
Mashambulizi dhidi ya Msikiti wa Greater Manchester yazua hofu miongoni mwa Waislamu

Mashambulizi dhidi ya Msikiti wa Greater Manchester yazua hofu miongoni mwa Waislamu

IQNA – Mashambulizi mawili ya hivi karibuni dhidi ya msikiti mmoja huko Greater Manchester nchini Uingereza yamewaacha waumini wakihisi kutokuwa salama, kwa mujibu wa Imam wake.
10:29 , 2025 Sep 06
Viongozi wa Kiislamu katika BRICS wasisitiza kuhifadhi na kukuza maadili ya familia

Viongozi wa Kiislamu katika BRICS wasisitiza kuhifadhi na kukuza maadili ya familia

IQNA – Viongozi wa Kiislamu kutoka nchi wanachama wa BRICS wametoa tamko la pamoja wakisisitiza kuwa, kutokana na hali ya sasa ya dunia, jukumu kuu na la dharura ni kufanya juhudi za hali ya juu kuhifadhi na kukuza maadili bora ya familia miongoni mwa vijana.
18:47 , 2025 Sep 05
Mtaalamu Maalum wa UN: Mahusiano yote na Israel yakatwe kabisa

Mtaalamu Maalum wa UN: Mahusiano yote na Israel yakatwe kabisa

IQNA – Akielezea unyama unaoendelea kufanywa na utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina, Mtaalamu Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu amesisitiza haja ya kukatisha mahusiano yote na Israel.
18:40 , 2025 Sep 05
Syria Yazindua ‘Mushaf al-Sham’ Katika Maonesho ya Kimataifa ya Damascus

Syria Yazindua ‘Mushaf al-Sham’ Katika Maonesho ya Kimataifa ya Damascus

IQNA – Nakala maalum ya Qur’ani ya Kitaifa ya Syria, inayojulikana kama Mushaf al-Sham, imeonyeshwa rasmi katika banda la Wizara ya Wakfu wakati wa Maonesho ya 62 ya Kimataifa ya Damascus.
18:30 , 2025 Sep 05
Msomi aangazia suluhisho za Mapinduzi ya Kiislamu kwa migogoro ya kisasa 

Msomi aangazia suluhisho za Mapinduzi ya Kiislamu kwa migogoro ya kisasa 

IQNA – Mwanazuoni mwandamizi kutoka Iran amesema kuwa kulinganisha mtazamo wa Tauhidi wa Mapinduzi ya Kiislamu na mtazamo wa kisekula wa Magharibi kunasaidia kufichua kwa undani vipengele vya migogoro ya dunia ya leo.
18:22 , 2025 Sep 05
Mwanazuoni: Qur'ani Inafaa kwa zama zote

Mwanazuoni: Qur'ani Inafaa kwa zama zote

IQNA – Mwanazuoni wa Kiirani, Mohammad-Taqi Fayyazbakhsh, amesema kuwa Qur'ani Tukufu inaendelea kuwa ya kisasa na yenye mwongozo kwa kila zama na kila jamii, akisisitiza nafasi yake kama chanzo cha mwangaza wakati wa mkanganyiko.
17:58 , 2025 Sep 05
Kiongozi wa Ansarullah: Watu wa Yemen wameinua bendera ya Jihadi dhidi ya mabeberu wa zama

Kiongozi wa Ansarullah: Watu wa Yemen wameinua bendera ya Jihadi dhidi ya mabeberu wa zama

IQNA-Kiongozi wa harakati ya Ansarullah, Sayyid Abdulmalik Badruddin al-Houthi, amesisitiza kuwa watu wa Yemen wanaendelea kufuata mwenendo wa Mtume Muhammad (S.A.W) na mafundisho ya Qur’an Tukufu.
22:13 , 2025 Sep 04
Kuzindua dunia kuhusu Masaibu ya Wapalestina ni miongoni mwa malengo ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu

Kuzindua dunia kuhusu Masaibu ya Wapalestina ni miongoni mwa malengo ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu

IQNA – Miongoni mwa malengo makuu ya shughuli na mikakati ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu mwaka huu ni kuvuta hisia za dunia kuhusu dhulma na masaibu yanayowakumba ndugu zetu Wapalestina, afisa mmoja amesema.
17:58 , 2025 Sep 04
Mkishukuru Yeye hufurahika nanyi

Mkishukuru Yeye hufurahika nanyi

Katika dunia ya leo yenye misukosuko na harakati nyingi, wakati mwingine tunahitaji kusimama kwa muda mfupi na kupata utulivu. Mkusanyiko wa 'Sauti ya Wahy' ukiwa na chaguo la aya za Qur’ani ni mwaliko wa safari ya kiroho na yenye utulivu."
17:57 , 2025 Sep 03
Maqari wakongwe wa Qur’ani kutoka Nchi za ASEAN waenziwa huko Kuala Lumpur

Maqari wakongwe wa Qur’ani kutoka Nchi za ASEAN waenziwa huko Kuala Lumpur

IQNA – Maqari wakongwe wa Qur’ani kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Mataifa ya Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN) wamepongezwa kwa mafanikio yao katika Jukwaa la Kimataifa la Uhakiki wa Ijazah za Qur’ani na Kuheshimu Maqari wa ASEAN, lililofanyika nchini Malaysia.
17:47 , 2025 Sep 03
Raia wa Argentina akumbatia Uislamu nchini Misri

Raia wa Argentina akumbatia Uislamu nchini Misri

IQNA – Raia mmoja wa Argentina ameukumbatia Uislamu (amesilimu) katika Msikiti wa Mina uliopo katika jiji la Hurghada, nchini Misri.
17:42 , 2025 Sep 03
Watu 97,000 watembelea Kituo cha Uchapishaji Qur’ani cha Madina mwezi Agosti

Watu 97,000 watembelea Kituo cha Uchapishaji Qur’ani cha Madina mwezi Agosti

IQNA – Zaidi ya watu 97,000 kutoka mataifa mbalimbali walitembelea Kituo cha Uchapishaji Qur’ani cha Mfalme Fahd kilichopo Madina, Saudi Arabia mwezi Agosti 2025.
17:37 , 2025 Sep 03
Iran yaanza maandalizi ya Hija ya mwaka ujao

Iran yaanza maandalizi ya Hija ya mwaka ujao

IQNA – Baraza la Mipango na Uratibu kutoka ofisi ya Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu katika Masuala ya Hija na Ziara, pamoja na Shirika la Hija na Ziara la Iran, wameanza maandalizi ya safari ya Hija ya mwaka ujao.
17:34 , 2025 Sep 03
Makumbusho ya Houston Yaonesha Karne za Sanaa ya Qur’ani Katika Maonyesho Mapya

Makumbusho ya Houston Yaonesha Karne za Sanaa ya Qur’ani Katika Maonyesho Mapya

IQNA – Jumba la Makumbusho ya Sanaa la Houston, jimbo la Texas nchini Marekani, linaandaa maonyesho ya nakala za Qur’ani kutoka maeneo mbalimbali ya ulimwengu wa Kiislamu.
17:29 , 2025 Sep 03
1