TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala katili wa Israel wamempiga risasi na kumuua kijana wa Kipalestina walipokuwa wakivamia sehemu ya kaskazini ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huku hali ya wasiwasi ikiongezeka katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na utawala huo katika wiki za hivi karibuni.
TEHRAN (IQNA) – Muislamu Muingereza mwenye asili ya Iraq aliwasili Makka siku ya Jumapili baada ya kuanza safari ya miguu zaidi ya miezi 10 iliyopita nchini Uingereza.
TEHRAN (IQNA)- Mwanafunzi wa taaluma ya tiba katika Chuo Kikuu cha Alezandria nchini Misri ameshika nafasi ya kwanza katika mashindano ya kuhifadhi Qur'ani ya wasichana katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amehutubia kikao cha Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran na maafisa na wafanyakazi wa chombo hicho akisema matokeo ya kusimama kidete mbele ya maadui ni kupata ushindi na maendeleo.
TEHRAN (IQNA) – Vigezo vya utendaji wema vimetajwa katika aya moja ya Qur’ani Tukufu na vinaangazia vyema mtazamo wa Qur’ani Tukufu kuhusu jinsi Waislamu wanavyopaswa kuwa na tabia na imani wanazopaswa kuwa nazo.
TEHRAN (IQNA)- Uchunguzi mpya umebaini kuwa, karibu asilimia 50 ya misikiti yote nchini Uingereza imekumbana na hujuma za chuki dhidi ya Uislamu katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel hauna mamlaka yoyote katika mji wa Quds (Jerusalem) na kwamba Hamas itaendelea kuupigania mji huo hadi utakapokombolewa.
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wa Uingereza yamkini hawataweza kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu baada ya kusibiri kwa muda wa miaka wakati Hija ilikuwa marufuku kwa walio nje ya Saudia kutokana na janga la corona.
TEHRAN (IQNA)- Mwaka huu kulijitokeza hitilafu katika baadhi ya nchi za Kiarabu na Kiislamu kuhusu siku kuu ya Idul Fitr lakini inaelekea kuwa kutakuwa na hitilafu katika kuanisha siku kuu ya Idul Adha.
TEHRAN (IQNA) – Mungurumo wa radi angani ni miongoni mwa alama za ukuu wa Mwenyezi Mungu na, kwa mujibu wa aya ya 13 ya Sura Ar-Ra’ad, inamtakasa na kumhimidi Mwenyezi Mungu.
TEHRAN (IQNA) – Sehemu za aya za Qur’ani zina visa vya Mitume wa Mwenyezi Mungu na makabiliano yao na wale wanaoikadhibisha dini na maamrisho ya Mwenyezi Mungu.
TEHRAN (IQNA) - Mawaziri wa Utalii wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) wanatarajiwa kushiriki katika mkutano katika mji mkuu wa Jamhuri ya Azerbaijan, Baku kujadili maendeleo ya utalii katika nchi za Kiislamu.