iqna

IQNA

congo
Waislamu Afrika
TEHRAN (IQNA)- Idadi kubwa ya Waislamu waliyoyakimbia makazi yao katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na ghasia na machafuko, wanataabika na kuteseka katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476791    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/31

TEHRAN (IQNA)- Kundi la kigaidi la ISIS limetoa taarifa na kudai kuwa limehusika na hujuma za kigaidi nchni Uganda Jumanne.
Habari ID: 3474575    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/18

TEHRAN (IQNA)- Wati 16, wakiwemo raia 13 na askari watatu wameuawa jimboni Ituri Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokraisia ya Kongo (DRC) kufuatia hujuma ambayo imetekelezwa na waasi wa ADF kutoka nchi jirani ya Uganda.
Habari ID: 3473651    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/15