IQNA

Rais wa Iran Atembelea Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani ya Tehran, ashiriki hafla ya kuwaenzi watumishi wa Qur'ani

IQNA - Rais wa Iran Ebrahim Raisi ametembelea Maonyesho ya 31 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran tarehe 30 Machi 2024. Pia alihudhuria hafla ya kuwaenzi watumishi 15 wa Qur'ani.
 
Habari zinazohusiana