iqna

IQNA

ghasia
Sera za Kigeni za Iran
TEHRAN (IQNA)- Iran imewawekea vikwazo makumi ya maafisa na mashirika ya Umoja wa Ulaya (EU) na Uingereza kutokana na uungaji mkono wao na kuchochea ghasia mbaya za hivi karibuni nchini. Waliowekewa vikwazo wamekuwa wakitoa matamshi yao ya uingiliaji mambo ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu na pia wamekuwa wakiunga mkono uungaji nchini Iran.
Habari ID: 3476240    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/12

Njama dhidi ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema njama ya adui ya kuzua ukosefu wa utulivu nchini Iran imefeli sawa na ilivyoshindwa sera ya vikwazo vikali dhidi ya nchi hii.
Habari ID: 3476069    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/11

Mwamko dhidi ya Marekani
TEHRAN(IQNA)- Washiriki katika maandamano ya Siku ya Taifa ya Kupambana na Ubeberu inayosadifiana na leo 4 Novemba, wamesisitiza udharura kuwepo mapambano endelevu dhidi ya njama za kuzusha fitna, ghasia na fujo.
Habari ID: 3476032    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/04

Njama dhidi ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi ya Rais Joe Biden wa Marekani ya kuunga mkono ghasia na machafuko nchini Iran na kusema, "Rais wa Marekani amedai kwamba "tuna mipango ya kuikomboa Iran"; hata hivyo anapaswa kuelewa kwamba Iran ilikombolewa miaka 43 iliyopita na haitatekwa tena na Marekani wala kuwa gombe la kukamuliwa maziwa."
Habari ID: 3476031    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/04

Jibu kwa jinai za Marekani
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa imeyaweka majina ya shakhsia kumi na taasisi nne za Marekani kwenye orodha yake ya vikwazo.
Habari ID: 3476020    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/01

Njama dhidi ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Taarifa ya pamoja ya Wizara ya Intelijensia ya Iran na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) imesema mashirika ajinabi ya kijasusi yakiongozwa na Shirika Kuu la Ujasusi la Marekani (CIA) yamekuwa na mchango mkubwa katika kupanga na kuratibu ghasia na fujo zilizoshuhudiwa hapa nchini kwa wiki kadhaa.
Habari ID: 3476005    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza katika hafla ya pamoja ya wanachuo wahitimu wa Vyuo Vikuu vya vikosi vya ulinzi nchini Iran kwamba ghasia na machafuko yaliyoshuhudiwa hivi karibuni hapa nchini yaliratibiwa na Marekani na utawala ghasibu na bandia wa Kizayuni na kusaidiwa kwa hali na mali na mabwana zao na baadhi ya wasaliti raia wa Iran wanaoishi nje ya nchi.
Habari ID: 3475872    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/03

Njama dhidi ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Usalama ya Iran imesema Marekani na Uingereza zilichochea ghasia zilizoshuhudiwa hivi karibuni kote Iran.
Habari ID: 3475864    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/01

TEHRAN (IQNA)- Ghasia zimeibuka maeneo kadhaa Marekani baada ya Joe Biden kuapishwa kama rais wa 46 wa Marekani siku ya Jumatano.
Habari ID: 3473577    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/21